Tuesday, December 23, 2014

ESCROW YAITESA SERIKALI

Zitto Kabwe
 
Kuweka rekodi sawa, PAP ( sio IPTL )
wamelipwa tshs 306 bilioni. Alizosema Rais ni
zile zilizokuwa Benki kama taslimu na dhamana
za Serikali. Ambazo hakusema ni zile ambazo
zililipwa na TANESCO baadaye. Ifahamike
hadidu rejea ( Terms of References ) kwa CAG
kufanya uchunguzi zilitolewa na PAC, hivyo
PAC ndio yenye mamlaka ya kuzisemea,

TIBAIJUKA AJIUZULU





Sunday, June 15, 2014

Soma mashairi ya nyimbo mpya ya amini wa Tht


wimbo;asante
mahadhi;zuku rhumba

verse 1
Zile nyimbo ulosikia sio kama ni idea
ni maisha nilopitia
Wakaribu ndio wanaojua
kila mti niliodandia,kumbe matawi yashajiachia
kazi yangu kukesha na dua, labda kesho ntajaliwa
kwa huruma ukatokea, Maumivu yangu Yalikusumbua
Magazeti Redioni pia ulinisoma na kuniskia, japo majibu niliyatoa imani zao hazikunisahishia
Umekuja kuninasua, usinitege ikajirudia

Ulaya wataka Blatter ajiuzulu kwa usemi

Maafisa wa kandanda wa Europa sasa wamemtaka rais wa shirikisho la kimataifa la kandanda FIFA, Sepp Blatter, ajuzulu kutokana na madai ya rushwa yanayoindama Fifa.
Maafisa wa kandanda wa Europa sasa 







Wametilia shaka uongozi wake.
Mkuu wa chama cha soka cha uholanzi MichaelVan Praag, amesema chini ya uongozi wa Blatter ,Fifa imeandamwa na tuhuma za rushwa na ili Fifa kujisafisha ni sharti Blatter angatuke.
Kwa upande wake mwenyekiti wa chama cha soka Uingereza, Greg Dyke,amesthtumu kauli ya Blatter kuwa madai ya rushwa kuhusiana na kuchaguliwa kwa Qatar kuwa mwenyeji wa kombe la dunia 2022 yanayoripotiwa katika magazeti ya Uingereza yamechochewa na ubaguzi wa rangi.
Blatter anatarajiwa kutangaza nia yake ya kuwania nafasi kipindi cha tano kuingoza Fifa katika uchaguzi wa Fifa unaotarajiwa kufanyika mwaka ujao.
Kwa sasa wajumbe wa Fifa wanavikao huko Sao Paulowakijiandaa kwa ufunguzi wa kombe la dunia hapo kesho ambako Sepp Blatter pia amekuwa akitoa cheche za maneno dhidi ya wale wanaoisema vibaya Fifa na Qatar.
                                                                  habari na abdul jr

Ivory Coast yan'gara Brazil

Miamba ya soka barani Afrika IvoryCoast imeimarisha matumaini ya bara hili baada ya kutoka nyuma na kuishinda Japan kwa mabao mawili kwa moja.
Ivory Coast ilijipatia mabao yake kupitia wachezaji Wilfried Bony na aliyekuwa mchezaji wa Arsenal Gervinho huku Japan ikifunga kupitia mshambuliaji wake keisuke Honda.

Ikiwa ni mara ya tatu kwa Ivory Coast kushiriki katika michuano ya Kombe la dunia,haijawahi kufuzu kupitia michuano ya kimakundi.Ushindi huo wa Ivory Coast ni wa kwanza miongoni mwa timu za bara hili na unaiweka timu hiyo sawa kwa pointi na Colombia ambayo iliifunga Ugiriki mabao matatu bila jibu.

Matokeo ya Uingereza na Italy

Mabingwa wa zamani wa kombe la dunia Italy imeanza vyema kampeni yake ya kuwania kombe la dunia nchini Brazil baada ya kuichapa Uingerezamabao mawili kwa moja katika mechi kali









Bao la ushindi la Italy lilifungwa kwa kichwa kupitia mshambuliaji matata Mario Baloteli mda mchache tu baada ya kipindi cha mapumziko.
Mechi hiyo ilichezwa chini ya viwango vya juu vya joto katika uwanja wa Manaus uliopo katikati ya msitu wa Amazon.Awali mshambuliaji wa Liverpool Daniel Sturridge alikuwa amekomboa bao lililofungwa na Claudio Marchisio wa Italy.

Thursday, June 12, 2014

Naf Beach Hotel na Offer Mpya kwa Wateja wake


NAF Beach Hotel ni Hotel yenye hadhi ya nyota Tano iliyopo mkabala na Chuo cha Veta Mtwara Kwa upande wa Mashariki na Pia katika upande Kaskazini ikipakana na Bahari ya Hindi. Uongozi Wa Naf Beach Hotel unapenda kuwatangazia kuwa kutokana na kuwajali wateja wake wale waingiao ndani ya Mkoa wa

MECHI IMEMALIZIKA NA KUFANYA TIMU YA BRAZIL KUIBUKA NA USHINDI DHIDI CROATIA KATIKA KOMBE LA DUNIA 2014


Mpaka mwisho wa mechi Brazil imeweza kuwa chabanga Croatia kwa jumla ya mabao Matatu kwa Moja, Pia Bao la kufutia machozi la Croatia lilifungwa na Mchezaji wa Brazil "Marcelo" baada ya Kujifunga Baada ya Kupigwa na Mchezaji wa Croatia hivyo kufanya kuweza kujiakikishia kuwa na bao lililofungwa katika dakika za mapema ikiwa ni Dkk ya 11.

Bao la Kwanza kwa upande wa Brazil lilifungwa na Mchezaji Mashukhuri yule anayechezea kule Spain katika timu ya Barcelona aitwae "Neymar", bao ilo likifungwa katika Dkk ya 29 kwa mkwaju uliopigwa mita chache kutoka usawa ama nje kidogo ya boksi kubwa.


Bao la pili la Brazil lilifungwa katika Dkk ya 71 kupitia kwa mchezaji wake "Neymar" mfungaji wa Bao la kwanza katika timu ya hiyo lilifungwa kwa mkwaju wa Penalt, baada ya mchezaji wa Brazil kufanyiwa madhambi ndani ya kumi na nane.

Pia bao la tatu la Brazil lilifungwa na mchezaji anayechezea kule England "Chelsea" aitwae Oscar baada ya kuwatoka mabeki wa Croatia na hivyo kufanga bao jepesi katika Dkk ya 90 pindi zikisalia dakika chache mpira kuisha.
Hivyo kufanya Brazil kuibuka na Ushindi mnono baada ya kuichalanga Croatia kwa jumla ya Mabao matatu kwa moja 3:1

           Imeandikwa na Repoter KHALEED SALUM

Fifa imefanya haitabadili utaratibu kuhusu Brazil

Fifa imesema haina mpango wa kuhamisha michuano ya kombe la dunia mwaka 2014 kutoka nchini Brazil ingawa nchi hiyo imepata changamoto katika maandalizi ya michuano hiyo.
Wafanyakazi wawili walipoteza maisha baada ya kuangukiwa na nguzo ambazo ziliharibu uwanja wa Corithians ulio mjini Sao Paulo.

Vyanzo vya habari vya juu ndani ya Shirikisho hilo vimeendelea kusisitiza kuwa hakuna mbadala kutokana na kutokea kwa ajali hiyo.Timu ya taifa ya Brazil inatarajiwa kucheza mechi ya ufunguzi ya Kombe la dunia katika uwanja huo wenye uwezo wa kuwa na watazamaji 65,000.

DRC na RWANDA zapigana kwa siku ya 2



Mapigano yameendelea kwa siku ya pili kati ya wanajeshi wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo na wale kutoka Rwandakwenye mpaka kati ya nchi hizo mbili.
Milio ya risasi iliyodumu karibu saa mbili iliripotiwa kusikika mapema Alhamisi.
Jamhuri ya kidemokrasi ya Congo inasema kuwa vikosi vya Rwanda viliingia Mashariki mwa Congo, kumteka nyara na kumuua mwanajeshi wake, huku nayo Rwanda ikisema kuwa wanajeshi wa Congo ndio walioingia nchini mwao na kuwafyatulia risasi.Pande hizo zimekuwa zikishutumiana kwa kuanza mapigano.

Wednesday, June 4, 2014

Platini akanusha alipokea hongo



Makamu wa rais wa FIFA Michel Platini amepinga madai alihongwa
Rais wa shirikisho la soka barani Ulaya ambaye pia ni Makamu wa rais wa FIFA ,Michel Platini amekashifu Gazeti la Daily Telegraph kwa kuashiria kuwa alikutana na aliyekuwa Rais wa shirikisho la bara Asia Mohamed bin Hammam muda mchache kabla ya kura za kuamua mwenyeji wa kombe la dunia la mwaka wa 2022.
Bin Hammam ambaye kwa sasa amepigwa marufuku ya maisha kwa kushiriki ufisadi ,ana anashtumiwa kwa kuwahonga wanakamati iliwaipigia kura Qatar kuwa mwenyeji 2022.

Brazil yatetea maandalizi yake

Rais Roussef ametetea vikali maandalizi ya kombe la dunia Brazil
Rais wa Brazil Dilma Rousseff ametetea jinsi ambavyo taifa lake limetayarisha Kombe la Dunia litakaloanza juma lijalo jijini Sao Paulo.
Alisema kuwa michezo hiyo itakuwa yenye ufanisi mkubwa ijapokuwa kumekuwepo na kukosolewa kwa kuchelewa kwa nyanja na miundombinu mbalimbali.
Bi Rousseff ambaye huenda akakumbwa na maandamano mapya ya kupinga serikali, alisema kuwa hawataruhusiwa kuvuruga mashindano hayo.Aliwaambia wanahabari kuwa matatizo ya aina ile ni ya kawaida kila mahali.

Kijue kikosi cha Ufaransa Kombe la Dunia 2014

Kocha wa timu ya Taifa ya Ufaransa Didier Desichams amekiweka hadharani kikosi chake cha wachezaji 23 kitakachoelekea nchini Brazil, Koha huyo amemjumuisha kikosini kiungo wa Bayarn Munichen Frank Ribery ambaye ametokea katika majeruhi Ufaransa ipo katika kundi E ambapo itapambana na Timu kama Switzland Ecuador na Honduras.

Mechi ya kwanza ya Ufaransa itakua dhidi ya Honduras juni kumi na Tano kikosi hicho cha watu kumi na tatu ni:-
WARINDA LANGO
1. Michael Landreau
2. Hugo Lloris
3. Stephen Ruffier

kisome kikosi cha nigeria kinachoelekea Brazil


baada ya timu mbalimbali za ulaya,afrika na asia zinazoelekeaa kombe la dunia kujumuika na wachezaji ambao walikua kwenye klabu zao kutangaza vikosi mbalimbali ambavyo vinaelekea kombe la dunia nchini brazil.kocha wa nigeria Steven Keshi ametangaza kikosi chake cha majina 23 atakachokitumia

Nigeria-Boko Haram wafanya mauaji



borno iliyoshambuliwa NIgeria
MTWARA NEWZ imepata taarifa kuwa zaidi ya watu 20 wameuawa katika mashambulio katika vijiji vya jimbo la Borno.
Hii inatokea wakati bado kuna wasiwasi mkubwa juu ya hatma ya wasichana zaidi ya 200 waliotekwa nyara na kundi hilo yapata siku 50 zilizopita.
Wanadai kuwa walidhania watu hao walikuwa wnajeshi wa serikali waliokuja kuwapa ulinzi. Na baada ya wanajeshi hao kuwafyatulia risasai ndipo waligundua kuwa walikuwa wapiganaji wa Boko Haram.Wakaazi wa kijiji cha Attagara karibu zaidi na mpaka wa Cameroon na Nigeria wamesema kuwa watu waliovalia sare za kijeshi walikuja katika kijiji chao na kuwaagiza watu waje katika uwanja wa kanisa.

Polisi waongezewa mishahara nchini Brazil

Polisi waliandamana wakitaka nyongeza ya mishahara
Serikali ya Brazil inapendekeza kuwapa nyongeza ya asilimia 15.8 mishahara polisi wake ili wasigome wakati wa ufunguzi wa michuano ya kombe la dunia wiki ijayo.
Maafisa wakuu wa polisi watapokea nyongeza ya asilimia 12 kuanzia mwezi Julai na nyingine ya asilimia 3.8 mwezi Januari.
Maandalizi ya kombe la dunia ambalo linaanza tarehe 12 Juni, yamekumbwa na maandamano ya kupinga serikali kwa kutumia gharama kubwa kuandaa michuano hiyo.Makubaliano hayo yanakuja baada ya mgomo wa polisi mapema mwaka huu ambapo takriban watu 250,000 walishiriki.

Friday, May 30, 2014

EXCLUCIVE;WENGER SIGNS NEW ASRENAL CONTRACT

The manager has penned a three-year extension to his current deal, which was set to expire this summer after their FA Cup triumph, to tie him to the club until the 20-year mark
Official: Wenger signs new Arsenal contract

Arsene Wenger
 has penned a three-year contract extension at Arsenal, the club have confirmed.

The Frenchman agreed an extension in principle in October but, since that time, a two-year deal hasbecome three after the Gunners returned to winning ways with triumph in the FA Cup final.

ARSENAL LATEST
9/1Arsenal are 9/1 with PaddyPower to win the Premier League
Wenger turned down a £1 million-per-year pay rise in March but began discussions over the summer plans for the club as he set his sights on securing a top-four finish and FA Cup glory.

Kampeini kukomesha ndoa za watoto Afrika

Baadi ya jamii afrika huoza watoto wao wadogo kwa sababu za kifedha
Umoja wa Afrika umeanzisha kampeini kabambe barani Afrika kusitisha ndoa za watoto wadogo.
Kampeini hiyo ilizinduliwa mjini Addis Ababa katika makao makuu ya umoja huo .

Inakisiwa kuwa asili mia tisini ya nchi zinazoathiriwa na ndoa hizi ni za AfrikaWataalamu wameonya kuwa ndoa za watoto wadogo zinakatiza ujana wa wasichana zaidi ya milioni kumi na saba, au mmoja kati ya wasichana watatu barani Afrika.

MKANALEDI FC YAIFUNGA COSMO FC KATIKA LIGI DARAJA LA NNE


Mtwara,nangwanda
mkanaledi fc yaibuka na ushindi wa mabao 2-0
Ligi daraja la nne limeendelea leo mkoani mtwara huku timu mbili zikimenyana vikali katika dimba la nangwanda sijaona.katika mchezo huo tulishuhudia upinzani wa hali ya juu kwa miamba ya hapa mkoani

India:Ghadhabu kwa ubakaji wa wasichana

Watu nchini India wameghadhabishwa na uzembe wa polisi katika jimbo la Uttar Pradesh kufuatia tukio la wasichana wawili kubakwa na kuuawa na mili yao kuwekwa juu ya mti.
Eneo ambako miili ya wasichana waliobakwa ilipatikana ikining'inia kwenye mti
Babake mmoja wa wasichana hao amesema kuwa polisi walimkejeli alipokwenda kwao kutaka usaidizi wa kumtafuta msichana wake aliyetoweka kabla ya kupatikana akining'inia kwenye mti na mwenzake.
Alisema kuwa wakati polisi walipogundua kuwa anatoka katika tabaka linalotazamiwa kuwa la hadhi ya chini, walikataa kumsaidia kutafuta msichana wake.

Thursday, May 29, 2014

Ghasia za kupinga kombe la dunia zaendelea brazil




Polisi mmoja alijeruhiwa kwa mshale
Polisi nchini Brazil wametumia gesi ya kutoa machozi kuwatawanya waandamanaji katika mji mkuu Brasilia wanaopinga kuandaliwa kwa kombe la dunia nchini humo.
Polisi walipigwa kwa mawe huku mamia ya waandamanaji wakijaribu kufika uwanja wa kitaifa ambako kombe litakalopokezwa washindi wa kinyang'anyiro hicho limewekwa.

Swansea sign Fabianski from Arsenal

The long-serving Poland international confirmed after the FA Cup final he was set to leave the Gunners and will complete a move to the Welsh club when his current contract expires
Arsenal goalkeeper Lukasz Fabianski has agreed to join Swansea City when his current deal with the Gunners expires next month.
The Polish shot-stopper rejected a last-ditch attempt by the north Londoners to prevent him from leaving the club, and has now opted to join the Welsh outfit.

Serena na Venus watolewa katika French Open

Bingwa mtetezi wa French Open upande wa wanawake Serena Williams ameyaaga mashindano hayo, baada ya kunyamazishwa na Garbine Muguruza wa Uhispania kwa seti 6-2, 6-2.
Hii ni mara ya kwanza tangu Serena Williams kuanza kucheza mashindano hayo kuondolewa wiki ya kwanza ya mashindano.

Dada hawa,Venus na Serena wametawala ulimwengu wa Tennis kwa miaka mingi
Imekuwa pigo kubwa kwani dadake pia,Venus tayari alikuwa ameshaondolewa kutoka mashindano hayo ambayo yameingia siku ya nne sasa.

Mmiliki wa Manchester United afariki dunia



Mmiliki wa Man united ameaga dunia
Mmiliki wa Manchester United mmarekani Malcom Glazer ameaga dunia akiwa na umri wa miaka 85 .
Familia ya bwenyenye huyo ilinunua United kwa gharama ya Euro milioni 790 mnamo mwezi Mei mwaka wa 2005 licha ya pingamizi kali kutoka a kwa mashabiki wa klabu hiyo.
Wanawe mmarekani huyo waliozaliwa Marekani Byan, Joel, na Avram wote wamejumuishwa katika bodi ya klabu hiyo, huku Joel na Avram wakiwa wenyekiti wenza.Hata hivyo, Chini ya umiliki wake uliosabibisha deni kubwa kwa klabu hiyo ''the Red Devils'' walishinda taji la premia ya Uingereza mara tano na vile vile taji la klabu bingwa mwaka wa 2008 .

Abdel-Fattah al-Sisi rais mpya wa Misri

Rais mpya wa Misri Al Sisi
Aliyekuwa mkuu wa jeshi nchini Misri , Abdel-Fattah al-Sisi, ndiye Rais mpya wa Misri baada ya kushinda uchaguzi mkuu uliofanyika wiki hii.
Vyombo vya habari vya kitaifa nchini Misri vinasema matokeo ya mapema yanaonyesha kwamba amejinyakulia zaidi ya asilimia 96 ya kura hizo.
Muslim Brotherhood na makundi mengine yaliususia uchaguzi huo na idadi ya waliojitokeza kupiga kura inakadiriwa kuwa chini ya asilimia 45.

Tuesday, May 27, 2014

Rodgers kusalia Anfield


Rodgers kusalia Anfield
Brendan Rodgers ametia sahihi kandarasi mpya ya muda mrefu kuwa mkufunzi wa timu ya Liverpool iliyomaliza yapili msimu uliopita.
Rodgers ambaye alichukua usukani mwaka wa 2012 kutoka kwake Kenny Dalglish ameiongoza timu hiyo kushiriki ligi ya vilabu bingwa baada ya kukosa kushiriki ligi hiyo kwa miaka minne.

Rodgers

"‘Nimefurahi sana kufanikisha msingi ambao tumekuwa tukijenga kwa miaka miwili iliyopita,Sasa tunakwenda katika hatua ya pili ambayo naamini itakuwa ya kusisimua,na yenye kutuza."

Cameroon yashinda licha ya majeraha

Cameroon yashinda ingawa tatizo la majeraha laongezeka.
Nahodha wa Cameroon Samwel Eto’o katika mechi ya kujipima nguvu ambayo The indomitable Lions iliishinda Macedonia mabao 2-0 nchini Austria.
Etoo alipumziswa huku timu hiyo ikiendelea kukumbwa na majeraha zaidi kabla ya kombe la dunia.
Mshambulizi huyo wa Chelsea hakuchezeshwa kutokana na jeraha la goti, huku Cameroon ikimpoteza mshambulizi mwingine Pierre Webo kutokana na jeraha siku ya Jumatatu punde baada ya kufunga.

Japan 1-0 Cyprus: Uchida scores the only goal in unconvincing friendly win

Japan 1-0 Cyprus: Uchida scores the only goal in unconvincing friendly win

Japan 1-0 Cyprus: Uchida scores the only goal in unconvincing friendly win

The Schalke man converted Shinji Kagawa's blocked effort as Albert Zaccheroni's men got off to a laboured start in their preparations for the World Cup
Japan got their World Cup preparations off to a less-than-convincing start with a narrow 1-0 win over Cyprusat Saitama Stadium.

Alberto Zaccheroni's side have now won three friendlies in a row but showed little sign of the quality that helped them recently overcome Belgium and New Zealand on Tuesday.

Tanzania yasema M23 walitoka Rwanda

Tanzania kwa mara ya Kwanza imesema inayo uhakika kuwa waasi wa M23 walioondolewa nchini Jamuhuri ya Kongo ni ni raia Rwanda.Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo Benard Membe ameliambia Bunge la Tanzania kuwa anao uhakika kuwa waasi M23 walitokea nchini Rwanda.
   Benard Membe Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania
Hii ni Mara kwanza kwa Tanzania kukiri hadharani kuwa inao uhakika kuwa waasi hao ni raia wa Rwanda.
Tanzania ni miongoni mwa nchi ambazo zimepeleka majeshi Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ambayo kwa kushirikiana na yale ya umoja wa Mataifa yaliwaondoa waasi hao DRC

Matamshi hayo ya Waziri huyo aliyatoa wakati alipokuwa akiwasilisha hotuba ya Bajeti ya Wizara yake ambapo pia alikiri kuwa bado uhusiano wa Tanzania na Rwanda sio mzuri.

New Song: Victoria Kimani Feat. Diamond& Ommy Dimpoz – Prokoto

Msanii wa Chocolate City, Victoria Kimani ameachia wimbo wake ‘Prokoto’ ambao amewashirikisha wakali wa bongo flava, Ommy Dimpoz na Diamond


Lady Jaydee ndani ya Anthem ya Kombe la Dunia 2014


Tulisikia kwamba mwimbaji hodari wa kike, Lady Jaydee , jina halisi Judith Wambura, kuwa ni mmoja kati ya wasanii kutoka Afrika Mashariki, waliopata “mtonyo” wa kuimba katika wimbo maalum wa Kombe la Dunia 2014. Kitu kipo tayari.
Kwa kimombo wanaita 2014 FIFA World Cup Anthem, jina la track ni The World Is Ours. Tupia jicho hapo chini.

BREAKING NEWS: Msanii Bongo movies 'Rachel' afariki!

MSANII WA FILAMU RECHO AFARIKI DUNIA

Msanii wa Bongo Movie, Rachel Haule ‘Recho’ amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es slaaam imethibitishwa na Mwenyekiti wa Bongo Movie, Steve Nyerere.

Monday, May 26, 2014

Vidokezo Vya Habari Za Michezo na Juma Credit B Credit

Nadal joins Djokovic in the second round
Rafa Nadal sails past American Robby Ginepri 6-0,6-3, 6-0 to progress to the second round at rainy Roland Garros.


Jamaica win the 4x100 title after setting a new 4x200 world record at the World Relay Championships in Nassau.
New world number one Adam Scott wins the Texas Invitational by beating American Jason Duffner in a playoff.
The Russian ice-hockey team win the world championships after a 5-2 win over Finland in the final.
The Oklahoma City Thunder trail the San Antonio Spurs 2-1 in their NBA playoff series following a 106-97 victory.
Sri Lanka beat England by 157 runs in the second One-Day International to level the five-match series 1-1.
German driver Nico Rosberg leads a Mercedes one-two finish as Lewis Hamilton fails to find a way past his teammate.
Swiss maestro Roger Federer beats Lukas Lacko 6-2, 6-4, 6-2 to progress to the next stage of the French Open.
Pakistan Cricket Board wants England T20 captain Stuart Broad disciplined following his tweets on Saeed Ajmal's action.