
Kuweka rekodi sawa, PAP ( sio IPTL )
wamelipwa tshs 306 bilioni. Alizosema Rais ni
zile zilizokuwa Benki kama taslimu na dhamana
za Serikali. Ambazo hakusema ni zile ambazo
zililipwa na TANESCO baadaye. Ifahamike
hadidu rejea ( Terms of References ) kwa CAG
kufanya uchunguzi zilitolewa na PAC, hivyo
PAC ndio yenye mamlaka ya kuzisemea,
